COVID-19 Took Our Leaders – What Now?
COVID-19 claimed the lives of many leaders in my home church in Dar es Salaam. The challenge now is who will step up? And who should we choose to lead us?
COVID-19 claimed the lives of many leaders in my home church in Dar es Salaam. The challenge now is who will step up? And who should we choose to lead us?
The word ‘gospel’ is one we have all heard many times during our lives as Christians. If you ask almost any Christian, they will tell you that the gospel is the “good news”. If you go further to ask that person what this good news entails, the variety of answers you get might surprise you! New Testament scholar, David Seccombe, put it this way, “The gospel matters for humankind because it alone gives life.” According to Paul, the “gospel” is the tool that God uses to save mankind What is The Gospel? To break it down, the word ‘gospel’ comes...
Dunia yetu imejaa na habari za uongo na pia Injili za uongo. Mungu pia anakua na Injili ambao ni Injili ya kweli na ni Injili ya Mungu. Injili ni utangajazi wa kimapinduzi ya kwamba Yesu ni mfalme. Tangazo hili linaimarishwa ndani ya Mungu Mmoja, Mungu Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, ambao wanajuana, wanapendana, na kutukuzana. Mungu huyu aliumba vitu vyote vionekanavyo na visivyo onekana, na kwa hiyo anastahili utukufu wote na kuhimidiwa. Mungu huyu amenena kupitia Mwanawe na Neno lililo andikwa kwa Agano la Kale na Agano Jipya. Mungu huyu huyu ndiye aliyeumba wanadamu, mwanaume na mwanamke. Kwa kusikitisha walimuasi...